Tuesday 16 December 2014

Faida nne za ulaji wa Chocolate




Katika hali ya kawaida watu wengi wamezoea kusikia  na kuambiwa kuwa Chocolate si kitu kizuri na kuna sababu nyingi za kukufanya uamini kuwa chocolate si nzuri.
Watu husema inaharibu meno, wengine hudai kuwa inasababisha kisukari na wengine huenda mbali zaidi wakidhani kuwa inaharibu ngozi kutokana na wingi wa mafuta iliyo nayo.
Watoto wadogo ambao wamezoeleka kuwa wapenzi wakubwa wa chocolate ndio huvunjwa moyo na wazazi/walezi wao katika hili.

Sunday 7 December 2014

Causes, effects and Management of stress





What is stress?
Stress is a normal physical response to events that make you feel threatened or upset your balance in some way. When you sense danger-whether it’s real or imagined-the body's defences kick into high gear in a rapid, automatic process known as the “fight-or-flight-or-freeze” reaction, or the stress response.
The stress response is the body’s way of protecting you. When working properly, it helps you stay focused, energetic, and alert. In emergency situations, stress can save your life-giving you extra strength to defend yourself, for example,

Wednesday 3 December 2014

Madhara ya kuwa mdaiwa sugu



Katika maisha huwezi kupata kila kitu unachokitaka, pia huwezi kuhitaji kila unachokipata. Hakuna mtu yeyote duniani ambaye amejitosheleza kwa kila kitu na asihitaji msaada wa mtu mwingine yeyote, hata Billgates huhitaji msaada wa watu wengine ili aweze kuishi na kustawi katika maisha na biashara zake. Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuishi maisha yake yote ya hapa duniani bila kukopa,hivyo basi kukopa sio jambo baya wala la ajabu. Jambo lililo baya ni kuwa mdaiwa sugu ama kutolipa madeni. Watu wengine hushindwa kulipa madeni si kwa sababu hawana uwezo wa kuyalipa bali hawaoni umuhimu ama hujisahau katika hilo.
Lengo la makala hii fupi ni