Tuesday 12 May 2015

Hizi ndizo kanuni za kuwa na afya njema

Ili uweze kufanya shughuli zako za kila siku ikiwa ni pamoja na shughuli za uzalishaji mali ni lazima uwe na afya njema. Afya ni hali ya kuwa vizuri kimwili, kiakili, kisaikolojia na kiroho pia. Watu wengi huchukulia kuwa watu wanene ndio wenye afya njema na wakati mwingine hudhani kuwa watu wembamba ndio wenye afya. Lakini kiukweli hilo si kweli.  Mtu mwenye afya ni yule mwenye sifa nilizotaja hapo juu.

Kama huna mojawapo kati ya hivi basi hatuwezi kusema kuwa una afya njema. Ukiwa na afya njema utaweza kuishi maisha yenye furaha na amani na pia utaweza kujizalishia kipato chako kwa kila siku iendayo kwa Mungu. Ili uwe na afya njema inakupasa