Uongozi
ni kuonyesha njia kwa wengine. Uongozi thabiti huweza kushinda nyakati ngumu
katika hii dunia, huku uongozi mbovu ukiitumbukiza jamii katika majanga na
majuto. Dunia hii ishawahi kuwa na viongozi bora sana. Je unamkumbuka Abraham
Lincoln, Mwl J.K. Nyerere, Sokoine, Mandela na wengi wengineo ambao wamekuwa
mfano wa kuigwa vizazi kwa vizazi. Najua kuna wabovu pia ambao unawafahamu
kuanzia ulimwengu wa kwanza mpaka wa tatu. Hayati Dr. Myles Munroe aliwahi
kusema ‘jeshi la
kondoo linaloongozwa na simba ni rahisi kulishinda kundi la simba linaloongozwa
na kondoo’. Maana yake
Bila Training Ya Mauzo, Timu Yako Itaongea Sana… Lakini Haitauza…!
-
*Rafiki Yangu, Wanafanya mazungumzo mengi kila siku. Wanajitahidi kuelezea
bidhaa.Wanajibu maswali ya wateja. Lakini mwisho wa siku…hakuna mauzo ya
kutosha...