Tuesday 16 December 2014

Faida nne za ulaji wa Chocolate




Katika hali ya kawaida watu wengi wamezoea kusikia  na kuambiwa kuwa Chocolate si kitu kizuri na kuna sababu nyingi za kukufanya uamini kuwa chocolate si nzuri.
Watu husema inaharibu meno, wengine hudai kuwa inasababisha kisukari na wengine huenda mbali zaidi wakidhani kuwa inaharibu ngozi kutokana na wingi wa mafuta iliyo nayo.
Watoto wadogo ambao wamezoeleka kuwa wapenzi wakubwa wa chocolate ndio huvunjwa moyo na wazazi/walezi wao katika hili.

Sunday 7 December 2014

Causes, effects and Management of stress





What is stress?
Stress is a normal physical response to events that make you feel threatened or upset your balance in some way. When you sense danger-whether it’s real or imagined-the body's defences kick into high gear in a rapid, automatic process known as the “fight-or-flight-or-freeze” reaction, or the stress response.
The stress response is the body’s way of protecting you. When working properly, it helps you stay focused, energetic, and alert. In emergency situations, stress can save your life-giving you extra strength to defend yourself, for example,

Wednesday 3 December 2014

Madhara ya kuwa mdaiwa sugu



Katika maisha huwezi kupata kila kitu unachokitaka, pia huwezi kuhitaji kila unachokipata. Hakuna mtu yeyote duniani ambaye amejitosheleza kwa kila kitu na asihitaji msaada wa mtu mwingine yeyote, hata Billgates huhitaji msaada wa watu wengine ili aweze kuishi na kustawi katika maisha na biashara zake. Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuishi maisha yake yote ya hapa duniani bila kukopa,hivyo basi kukopa sio jambo baya wala la ajabu. Jambo lililo baya ni kuwa mdaiwa sugu ama kutolipa madeni. Watu wengine hushindwa kulipa madeni si kwa sababu hawana uwezo wa kuyalipa bali hawaoni umuhimu ama hujisahau katika hilo.
Lengo la makala hii fupi ni

Monday 24 November 2014

Faida 7 za kutumia lugha sanifu


Lugha ni nyenzo kubwa sana katika mawasiliano ya kila siku katika jamii. Lugha imewezesha mambo mengi sana akatika jamii zetu kote duniani. Lugha imesaidia sana katika nyanja mbalimbali ikiwemo upashanaji habari,elimu, kusambaza teknolojia na hata kuburudisha. Lugha inatakiwa kutumiwa kwa usahihi kulingana na muktadha mada husika na wazungumzaji pia. Kila jamii ina lugha yake na hakuna lugha iliyo bora kuliko lugha nyingine. Kutokujua matumizi sahihi ya lugha unayoitumia husababisha madhara makubwa katika mawasiliano ya kila siku.Mathalan utumiaji mbovu wa maneno,uandishi usio sahihi na hata matamshi mabovu ni makosa makubwa ambayo hufanywa kila siku na watumiaji wa lugha husika, hivyo kupelekea kutoa ujumbe tata kwa mlengwa/walengwa wako. Katika lugha ya uandishi vituo pia ni muhimu mfano nukta,mkato,alama ya kuuliza nk.
1.Kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa usahihi
Ili uweze kueleweka kwa urahisi ni muhimukutumia maneno yote ya lugha husika kwa usahihi bila kubadili matamshi ama maandishi sahihi ya maneno ili

10 health benefits of cucumbers


Cucumbers are the fourth most cultivated vegetable in the world and known to be one of the best foods for your body's overall health, often referred to as a superfood. Cucumbers are often sprayed with pesticides so it is important to buy organic or even better, grow them yourself.
    

Here are 10 Benefits of cucumbers:

1.Quick pick me-up - Cucumbers are a good source of B vitamins. Put down your sodas and coffee and eat a cucumber slice.

Saturday 22 November 2014

Jinsi ya kutengeneza maziwa ya soya nyumbani



Utangulizi
Maziwa ya soya ni maziwa yanayotokana na mbegu za soya. Ni kinywaji kizuri kwa afya na pia hutumika kama kiburudisho. Maziwa ya soya hufanana sana na maziwa ya wanyama hasa ya ng’ombe katika virutubisho na pia mwonekano (rangi). Maziwa ya soya ni mazuri sana kwa sababu hayana lehemu (cholesterol),mafuta yasiyofaa/mgando (saturated fats) na yana virutubisho vingi. Maziwa haya hufaa sana pia kwa watu wenye mzio (allergy) na maziwa ya wanyama kutokana na kukosa kimeng’enyo kiitwacho lactose (lactose intolerant people).

 

Jinsi ya kuandaa
1)      Chambua soya zako kuondoa uchafu.
2)      Osha vizuri soya zako na maji safi.

Monday 10 November 2014

15 Health benefits of eating banana



A banana is an edible fruit, botanically a berry, produced by several kinds of large herbaceous flowering plants in the genus Musa. The fruit is variable in size, colour and firmness, but is usually elongated and curved, with soft flesh rich in starch covered with a rind which may be green, yellow, red, purple, or brown when ripe.
  
1. Banana help to regulate blood sugar level and produces stress-relieving relaxation.  
2.  Bananas reduce swelling, protect against type II diabetes, aid weight loss, strengthen the nervous system, and help with the production of white blood cells, all due to high levels of vitamin B-6.
3.Bananas help overcome depression due to high levels of tryptophan, which is converted into serotonin -- the happy-mood brain neurotransmitter.   
4.Banana is a good source of energy.

 

5.Strengthen your blood and relieve anaemia with the added iron from bananas.
6. Bananas aid digestion and gently chelate toxins and heavy metals from the body.
7.Bananas act as a prebiotic, stimulating the growth of friendly bacteria in the bowel. They also produce digestive enzymes to assist in absorbing nutrients.
8.Banana relieve stomach ulcers by coating the lining of the stomach against corrosive acids.
9. Bananas make you smarter and help with learning by making you more alert. Eat a banana before an exam to benefit from the high levels of potassium.
10.Bananas are high in antioxidants, providing protection from free radicals and chronic disease.
11. Quitting smoking, Bananas contain high levels of B-vitamins as well as potassium and magnesium to speed recovery from the effects of withdrawal. 
12. Eating a banana between meals helps stabilize blood sugar and reduce nausea from morning sickness.
13.Restore electrolytes after running,Bananas are soothing to the digestive tract and help restore lost electrolytes after diarrhoea. 
14.Prevent kidney cancer, protects the eyes against macular degeneration and builds strong bones by increasing calcium absorption.
15. Rich in fibres,since banana contain much fibres can help normalize bowel motility.