Uongozi
ni kuonyesha njia kwa wengine. Uongozi thabiti huweza kushinda nyakati ngumu
katika hii dunia, huku uongozi mbovu ukiitumbukiza jamii katika majanga na
majuto. Dunia hii ishawahi kuwa na viongozi bora sana. Je unamkumbuka Abraham
Lincoln, Mwl J.K. Nyerere, Sokoine, Mandela na wengi wengineo ambao wamekuwa
mfano wa kuigwa vizazi kwa vizazi. Najua kuna wabovu pia ambao unawafahamu
kuanzia ulimwengu wa kwanza mpaka wa tatu. Hayati Dr. Myles Munroe aliwahi
kusema ‘jeshi la
kondoo linaloongozwa na simba ni rahisi kulishinda kundi la simba linaloongozwa
na kondoo’. Maana yake
Biashara Bila Mauzo Crm & Accounting Ni Kama Gari Bila Dashboard…
-
Rafiki Yangu, Unaendesha biashara lakini huoni kinachoendelea. Hujui nani
anatakiwa kufuatiliwa leo.Hujui deal lipi liko karibu kufungwa.Hujui pesa
ipi hai...